Kilimo Cha Kiganjani
Inayoanza na Data Halisi ya Shamba
Pata ukubwa halisi wa shamba lako, aina ya udongo, ununuzi wa mbolea na mbegu, na upate mapendekezo ya kitaalamu kupitia ujumbe mmoja. Teknolojia iliyokuwezesha kununua vitendea kazi vinavyofaa kwa shamba lako, hata bila intaneti, wakati wowote na mahali popote.
Kilimo Cha Data
Kwa Mkulima wa Kisasa
Pakua programu yetu na uanze kupima udongo, kupata ushauri wa mbolea, kununua mbegu bora na kufuatilia hali ya shamba lako kutoka popote ulipo.
Upimaji wa Udongo
Pata matokeo sahihi ya ubora wa udongo kupitia sensor zetu maalum za udongo na mapendekezo ya mbolea
Nunua Mbolea
Chagua mbolea inayofaa kwa shamba lako na uipokee kwa wakati uliokadiriwa.
Nunua Mbegu
Chagua mbegu bora kwa zao lako, upate ushauri wa kupanda na utoaji wa haraka.
Pima Ukubwa wa Shamba
Angalia ukubwa wa shamba lako kwa kutumia GPS
Huduma Kuu za Kilimo Ardhi
Suluhisho sahihi kwa wakulima wa Tanzania: upimaji wa udongo, upimaji wa ukubwa wa shamba, ununuzi wa mbolea na mbegu.
Upimaji wa Udongo
Pata ripoti kamili ya ubora wa udongo wako nitrojeni, fosforo, potasiamu na virutubisho vingine vya msingi kwa kutumia sensor zetu za udongo zilizotengenezwa kwa ajili ya wakulima. Mapendekezo ya mbolea yanayozingatia mahitaji halisi ya shamba lako kutokana na zao unalotaka kulima.
Nunua Mbegu
Chagua mbegu bora kwa zao lako, pata ushauri wa kupanda na lengo la mavuno bora kupitia app au USSD.
Nunua Mbolea
Chagua mbolea inayofaa kwa mashamba yako yenye viwango vilivyopimwa na udongo, pokea ushauri wa matumizi na upokee kwenye eneo lako.
Upimaji wa Ukubwa wa Shamba
Pima ukubwa halisi wa shamba lako kwa kutumia teknolojia ya GPS. Pata ripoti kamili kuhusu ekari, hektari na njia ya kuboresha matumizi ya ardhi yako.
Hatua 6 katika upimaji udongo
Njia rahisi na haraka ya kupata huduma za kilimo na udongo
Bila Internet?
Hakuna Tatizo!
Piga *150*69# kwenye simu yoyote Vodacom, Airtel, Halotel au Yas ili upate huduma zote za Kilimo Ardhi, ikiwa ni pamoja na Nunua Mbolea na Nunua Mbegu bila kuhitaji data ya internet.
Tunataka Kubadilisha Kilimo nchini Tanzania
Maono Yetu
Kilimo ndilo moyo wa Tanzania. Tunataka kila mkulima ajue ukubwa wa shamba lake, ubora wa udongo wake na kupata ushauri bora kwa mbolea kwa njia rahisi, ilafu na yenye kutegemewa.
Mkulima Mchanganyikana = Mkoa Mchanganyikana
Lengo Letu
Waunganisha wakulima na wataalamu wa kilimo kupitia teknolojia. Toa huduma za upimaji, utabiri na ushauri bila kuanzia kwenye simu yako, bila internet, saa 24/7.
Data ✓ Teknolojia ✓ Wanasimu ✓ = Mazao Bora
Thamani Zetu
- ✓ Usahihi - Data Halisi tu
- ✓ Kupatikana - Kila mfulizo, kila wakati
- ✓ Kutegemewa - VBA/Extension officer wetu ni mahususi
- ✓ Mwaliko - Bei ya wakulima
Kilimo Ardhi Kwa Vitendo
Wakulima wetu wanatumia teknolojia ya kisasa kuchunguza virutubisho vya udongo wa mashamba yao, kununua mbolea na mbegu bora, na kupima ukubwa wa mashamba yao ili kukuza mavuno yao kila mwaka.
Tunarahisisha Kilimo cha Tanzania
Kilimo Ardhi ni jukwaa la kisasa linalowaunganisha wakulima na wataalamu wa kilimo kwa teknolojia ya kisasa zaidi. Tunatoa huduma za upimaji wa ukubwa wa shamba, udongo, ununuzi wa mbolea na mbegu na kutoa mapendekezo ya matumizi ya mbolea moja kwa moja kiganjani kwa wakulima.
Lengo letu ni kuongeza uzalishaji wa kilimo nchini Tanzania kupitia data halisi za shamba la mkulima na teknolojia ya kisasa.
- ❖Upimaji halisi wa udongo na mapendekezo ya mbolea
- ❖Nunua mbolea na mbegu inayofaa kwa shamba lako kupitia App au USSD
- ❖Utabiri wa hali ya mvua, joto na unyevu wa Nchi nzima
- ❖Pata ukubwa sahihi wa shamba kwa GPS
- ❖Unganishwa na wataalamu wa kilimo (VBA/Extension officer) wa karibu nawe
- ❖Inapatikana kwenye App na pia hata bila internet kupitia USSD *150*69#
Sauti za Watumiaji
Huduma Inafika Mikoa Yote 31 ya Tanzania
Kutoka Arusha hadi Mtwara · Kutoka Kigoma hadi Dar es Salaam · Wakulima 1000000+ wanatuamini
Imethibitishwa na Kutumika
Wakulima Wanaotumia
Tanzania Nzima
wa Data
Bila Internet